BIASHARA LEO; Nenda Zaidi Ya Matatizo Na Mahitaji.

By | September 5, 2017
Unapoanzisha biashara, kitu kikubwa ni kuangalia matatizo au changamoto ambazo watu wanazo, kisha unakuja na suluhisho la matatizo na changamoto hizo. Hilo ndilo ambalo kila mfanyabiashara anafanya. Na kwa kuwa huna cha kuwazuia watu kufanya unachofanya wewe, kutegemea hilo pekee hakukuwezeshi kuwa na wateja waaminifu kwa biashara yako. Wateja waaminifu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz