MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; ADHABU KUBWA YA MKOSAJI…
The first and greatest punishment of the sinner is the conscience of sin. – Lucius Annaeus Seneca Asubuhi njema mwanamafanikio. Hongera kwa siku hii mpya na ya kipekee sana kwetu. Ni nafasi nyingine nzuri kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Ni kwa msingi wa NIDHAMU,