MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 1194; Maisha Ni Kuliona Kusudi…
Kusudi la maisha, ni kile kitu ambacho mtu umeletwa kufanya hapa duniani. Ni kile pekee ambacho kinatofautisha maisha yako na ya wengine. Kila mtu ana kusudi lake, na hakuna makusudi yanayofanana kwa kila kitu. Maono ni pale akili inachoona kisichokuwepo na kuwa na imani kwamba kitakuwepo. Maono ni kitu ambacho