MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 1254; Sheria Nyingine Tatu Muhimu Kwenye Mafanikio…
Aah kocha usiniambie kuna sheria nyingine tena ambazo bado sijazijua… Ni kweli kuna sheria nyingine za mafanikio, lakini si kweli kwamba hujazijua, ni sheria zile zile ambacho tumekuwa tunashirikishana mara kwa mara, ila zimeelezewa kwa namna tofauti. Najua wengi hatupendi sheria, lakini bila ya sheria, za kujiwekea sisi wenyewe au