UKURASA WA 1260; Usikimbie Uhalisia Wa Maisha…

By | June 13, 2018
Maisha ni magumu, lakini ni magumu zaidi ukiwa mpumbavu, hii ni kauli ambayo imebeba ujumbe mzito sana pale unapoielewa vizuri. Wapo watu ambao wanateseka sana kwenye maisha, lakini ukiangalia sehemu kubwa ya mateso yao inatokana na wao kukimbia uhalisia wa maisha yao. Watu wanatengeneza maumivu zaidi kwenye maisha yao, wakijaribu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz