MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 1273; Pamoja Na Mipango Mikubwa Uliyonayo, Jikubali Kwanza…
Kila kitu kina faida na hasara, kila kitu. Faida ya kuwa na malengo na mipango mikubwa kwenye maisha yako ni kwamba kama hutakata tamaa, utafikia malengo na mipango hiyo na maisha yako yatakuwa bora sana. Lakini ipo hasara ya kuwa na malengo na mipango mikubwa, ambayo ni kushindwa. Utashindwa kwenye