#TAFAKARI YA LEO; USIFANYE MAMBO KUWA MAGUMU ZAIDI YA YALIVYO.

By | July 1, 2018
AMKA mwanamafanikio, Amka kutoka kwenye ndoto za siku moja mambo yatakuwa mazuri na nenda kaweke juhudi kuyafanya mambo kuwa mazuri kweli. Tayari siku mpya, siku bora na ya kipekee ipo kwenye mikono yetu. Ni maamuzi yetu sisi wenyewe tuitumieje siku hii, kama tuitumie kwa kuzalisha na kusonga mbele zaidi. Au

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz