MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1829; Maarifa Mengi Yasikupoteze…
Naamini sana kwenye kujifunza, hasa kupitia usomaji wa vitabu. Naamini ndani ya nafasi yangu kwamba mtu yeyote, anaweza kubadili maisha yake kupitia usomaji wa vitabu. Pia naamini mtu ambaye hasomi vitabu, anajizuia yeye mwenyewe kuiga hatua za kumwezesha kufanikiwa kwenye maisha yake. Pamoja na manufaa makubwa ya usomaji vitabu, ipo