MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1832; Upendo Na Heshima…
Tunapenda kupendwa, na hilo ndiyo linalotusukuma kwenye mambo mbalimbali tunayofanya. Tunavaa nguo nzuri ili tupendwe, tunafanya yale wengine wanafanya hata kama hatutaki kuyafanya ili tu tupendwe. Kuna wakati tunaenda mbali na hata kufanya mambo ambayo siyo sahihi kwetu, ili tu tupendwe. Sasa leo nina ujumbe wa tofauti kwako rafiki yangu,