MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1833; Kazi Yako Ni Kufanya Kazi Yako…
Kama kazi yako haihusishi mitandao ya kijamii, kutumia mitandao wakati wa kazi ni kutoroka kazi yako. Kama kazi yako haihusishi matumizi ya simu, kutumia simu wakati wa kazi ni kutoroka kazi yako. Kama kazi yako haihusishi majungu na kufuatilia maisha ya wengine, kufanya mambo hayo wakati wa kazi ni kutoroka