MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; MAARIFA YA KWELI…
“Only when we forget what we were taught do we start to have real knowledge.” —HENRY DAVID THOREAU Ni jambo kubwa sana na la kushukuru sisi kuweza kuiona siku hii nyingine mpya ya leo. Tukiweza kuitumia vizuri, tutaweza kufanya makubwa sana leo. Maarifa ya kweli yanaanza pale unaposahau kile ulichofundishwa