MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA USIKU; TUMIA AKILI, USIKARIRI…
“Knowledge is real knowledge only when it is acquired by the efforts of your intellect, not by memory.” – Leo Tolstoy Maarifa bora kwako ni yale unayoyapata kwa kutumia akili yako kufikiri na siyo kwa kukariri. Kwa kukariri unaweza kujua mengi, lakini usiweze kuyatumia. Kwa kufikiri unaelewa vizuri ulichojifunza na