MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA USIKU; KAMA HUJAWAHI KUSHINDWA…
“If you don’t make mistakes, you’re not working on hard enough problems. And that’s a big mistake.” —FRANK WILCZEK Kama hujawahi kushindwa au kukosea kwenye jambo lolote unalofanya, siyo kwamba wewe ni mjanja sana, bali hujajaribu vitu vikubwa. Umekuwa unafanya vitu ambavyo umezoea kufanya. Na hilo ni kosa kubwa sana,