MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1843; Unapokuwa Huna Uhakika Ufanye Nini…
Kila mtu kuna wakati huwa anajikuta njia panda, anakosa uhakika wa kitu gani afanye. Unajikuta una machaguo mengi na hujui kipi ni sahihi kwako kufanya. Huu ndiyo wakati ambapo wengi hupoteza muda wakifikiria kipi sahihi kwao kufanya. Wengi hukimbilia kujifunza zaidi, kufanya tafiti zaidi, kuomba ushauri kwa wengi zaidi. Lakini