MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA USIKU; WATU WA KUJIHUSISHA NAO…
“Associate with people who are likely to improve you.” — Seneca Unapaswa kujihusisha na watu ambao wanakufanya kuwa bora zaidi ya ulivyo sasa. Watu ambao wabakuonesha kipi sahihi cha kufanya, Wanaokuambia ni vitabu gani vizuri ufanye, Wanaokupa mawazo mazuri ya kupiga hatua, Na wasioogopa kukuambia pale unapokosea. Unapaswa kuwaepuka watu