MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA USIKU; UBAYA UNAKUTAFUNA MWENYEWE…
“An evil person damages not only others but himself.” —After SOCRATES Unaweza kufanya ubaya kumlenga mtu mwingine, lakini jua kwamba ubaya huo utakuwa na madhara kwako kuliko kwa unayemfanyia. Kadhalika kwa yule anayekufanyia ubaya, tambua unamdhuru zaidi yeye mfanyaji kuliko wewe mfanyiwaji. Kwa kujua hili, tujiepushe kuwafanyia wengine mabaya, Na