MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA USIKU; MAISHA HAYANA GHARAMA, ILA MAONESHO SASA…
“Living doesn’t cost much, but showing off does.” – Jeffrey D. Sachs Maisha ya kawaida hayana gharama kubwa, Mtu yeyote anaweza kumudu gharama za msingi kabisa za maisha. Kinachotutesa ni maigizo, kutaka kuiga wengine na kuonekana na wewe upo. Hapo ndipo unapojikuta kwenye madeni mazito, kwa sababu tu unataka na