MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; KUTAKA SIFA NA KUKUBALIKA…
“You want praise from people who kick themselves every fifteen minutes, the approval of people who despise themselves?” – Marcus Aurelius Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine mpya, siku bora na ya kipekee sana kwetu. Ni nafaso nzuri kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana.