MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA USIKU; SABABU YA UPENDO…
“A wise man loves not because he wants to profit from it but because he finds bliss in love itself.” – Leo Tolstoy Kwa mpumbavu, upendo umejishikiza na kitu, anampenda mtu kwa sababu kuna kitu anapata kutoka kwake. Upendo wa aina hii siyo sahihi na haudumu. Kwa mwerevu, upendo haujajishikiza