MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA USIKU; HAWAJALI KIIVYO…
“You’ll stop caring what people think about you when you realize how seldom they do.” – David Foster Wallace Umekuwa unaogopa kuyaishi maisha yenye maana kwako, kusimamia misingi ambayo ni sahihi kwako na hata kufanya mambo kwa utofauti. Kinachokuogopesha ni jinsi gani wengine watakuchukulia na kukufikiria. Unaona ni bora uendelee