MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; USIWE MPUMBAVU, KAA KIMYA…
“A stupid person should keep silent. But if he knew this, he would not be a stupid person.” —MUSLIH-UD-DIN SAADI Mpumbavu anapaswa kukaa kimya, Lakini kama angelijua hilo, asingekuwa mpumbavu. Njia pekee ambayo watu wanaweza kujua ujinga wako ni kupitia yale unayoongea. Hakuna njia nyingine, Na kila mtu yuko tayari