MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1884; Hujui Ambacho Hujui Mpaka Utakapojua…
Moja ya vikwazo vikubwa kwa wengi kujifunza na kupiga hatua kwenye maisha yao ni ujuaji. Wengi huamini tayari wanajua kila wanachopaswa kujua hivyo hawana haja ya kujifunza tena. Na hapo ndipo wanapokuwa wamejichimbia kaburi na kujizuia kupiga hatua. Hatua ya kwanza unayopaswa kuchukua ni kukiri kwamba kuna vitu vingi hujui,