MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; KABLA HUJAONGEA…
“If you have time to think before you start talking, think, Is it necessary to speak? Will what I have to say harm anyone?” – LEO TOLSTOY Kabla hujaongea chochote, jiulize maswali haya mawili; Je ni muhimu kuongea? Je kile ninachokwenda kusema, hakitamdhuru yeyote? Ukijiuliza maswali hayo na ukajipa majibu