MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA USIKU; CHUKI NI PESA…
Niliwahi kukuambia kwamba ukitaka fedha zaidi basi toa thamani zaidi. Leo nakuongezea kauli nyingine, ukitaka fedha zaidi, basi tafuta watu wengi zaidi wakuchukie. Kwa nini? Hii ni kwa sababu kama unataka kupata fedha zaidi, lazima ufanye tofauti na wengine wanavyofanya. Na utakapofanya tofauti, watu wataanza kukuchukia, Ndiyo maana chuki ni