MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; ZIMA HALAFU UWASHE…
“Almost everything will work again if you unplug it for a few minutes, including you.” – Anne Lamott Kama umewahi kutumia kifaa chochote cha kielektroniki, iwe ni simu, tv, kompyuta, redio n.k, unajua pale kifaa hicho kinapokusumbua, hatua ya kwanza ni kukizima na kuwasha. Yaani ku RESTART. Kabla hujakipekela kifaa