MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; NJIA PEKEE YA KUTOKUWA NA ADUI…
“If you love your enemies, you will have no enemies.” – Leo Tolstoy Njia pekee ya kutokuwa na adui kwenue maisha yako ni kuwapenda maadui zako. Kwa kuanza kabisa, mpende kila mtu na hutakuwa jata na adui wa kumpenda. Kwa sababu unampenda kila mtu, hupati nafasi ya kumweka yeyote kwenye