MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1906; Maamuzi Na Ujasiri…
Ili kuwa na maisha bora kabisa unayoweza kuwa nayo, unahitaji vitu hivi viwili muhimu; Kitu cha kwanza ni kujua maamuzi sahihi na bora kabisa kwako. Kitu cha pili ni kuwa na ujasiri wa kuyafanya maamuzi hayo licha ya ugumu na changamoto utakazokutana nazo. Mambo hayo ni rahisi kuyasema, lakini ugumu