MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; HUNA CHA KUFICHA WALA KUONESHA…
“Live your life in such a way that you neither hide nor have a wish to display your life to people.” – Leo Tolstoy Ishi maisha yako kwa namna ambayo huna chochote ambacho unahitaji kukificha ili wengine wasione au kujua na pia kuna chochote ambacho unataka sana kuonesha wengine waone