MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; USITAKE KUWA SAHIHI KILA WAKATI…
“Nothing can make a person’s soul softer than the understanding of his own blame, and nothing can make one harder than the desire always to be right.” —After the TALMUD Kama unataka kuwa sahihi kila wakati, maana yake haupo tayari kujifunza. Hili linaufanya moyo wako kuwa mgumu, unakuwa na kiburi