MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1919; Uhaba Ndiyo Unaamua Mafanikio…
Kwenye kilimo, kuna sheria ya Liebig ambayo inaeleza kwamba ukuaji wa mmea unategemea rasilimali yenye uhaba, na siyo upatikanaji wa rasilimali zote. Kwa lugha rahisi ni kwamba, mmea utakua kulingana na upatikanaji wa rasilimali ambayo ina uhaba mkubwa. Hata kama rasilimali nyingine zote muhimu zinapatikana, ile yenye uhaba itazuia ukuaji