MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; KUEPUKA KAZI NDIYO CHANZO CHA MAOVU…
“It is difficult to avoid working in life without either sinning, committing violence, being a party to violence, or by flattering and pleasing the agents of violence.” – LEO TOLSTOY Chanzo kikuu cha maovu ni watu kukataa kazi. Watu wanaiba kwa sababu hawataki kufanya kazi, Wengine wanalaghai na kutapeli kwa