MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; KIKWAZO KIKUU NI HOFU…
“Fear defeats more people than any other one thing in the world.” —Ralph Waldo Emerson Hebu fikiria ni mambo gani ungekuwa umefanya na hatua zipi umepiga mpaka sasa kama usingekuwa na hofu? Biashara ambayo umekuwa unajiambia utaianza miaka mingi ungeshaianza tayari. Vitu vipya ambavyo umekuwa unatamani kuvifanya kwa muda mrefu