MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1931; Kama Huna Unachofia, Huna Unachoishi…
Kama hakuna kitu ambacho uko tayari kufa kuliko kukisaliti, basi pia huna kitu ambacho kinakusukuma kuwa na maisha bora hapa duniani. Kwa kifupi, huna maisha, na kama huna maisha, tofauti yako wewe na wanyama wengine kama mbuzi ni ndogo sana. Maana utazaliwa, utazurura zurura hapa duniani, kisha utakufa, utazikwa na