MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1944; Thamani Ya Kitu Unaiona Unapokikosa…
Kwenye uchumi, ukitaka kitu kipande bei, kiondoe sokoni, upatikanaji wa kitu unapokuwa mdogo, ghafla uhitaji wake unakuwa mkubwa na bei yake inakuwa kubwa pia. Kwenye saikolojia ukitaka watu wapende au kufanya kitu, wakataze wasiwe nacho au wasikifanye. Mwambie mtoto asishike moto na hapo utakuwa umempa kitu cha kufanyia kazi, kuhakikisha