MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1947; Jinsi Ya Kutumia Hisia Hasi Vizuri…
Ukipatwa na hasira beba jembe na uende ukalime, hii ni moja ya kauli zilizozoeleka, lakini yenye maana kubwa sana, japo wengi huwa hawaioni na kuitumia. Sisi binadamu ni viumbe wa kihisia ambapo sehemu kubwa ya maisha yetu inaendeshwa na hisia tunazokuwa nazo. Hisia hizi zinaweza kuwa chanya au hasi na