MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; JIFUNZE KUJUA, SIYO KUJULIKANA…
“Clever people study in order to know more. Undeserving people study to be more known.” —EASTERN WISDOM Changamoto kubwa kwenye maisha ni kwamba watu wengi hawajifunzi ili kujua, bali wanajifunza ili kujulikana. Mtu anaenda shule siyo ili apate maarifa yatakayobadili maisha yake, bali ajulikane na yeye ameenda shule au kufika