MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; JIFUNZE KILA SIKU…
“Seek to learn constantly while you live; do not wait in the faith that old age by itself will bring wisdom.” —SOLON Unakula chakula kila siku, Hukubali siku ipite hujaulisha mwili wako, Na kwa siku ambayo huna namna ya kulata chakula, utapambana kwa kila namna kuhakikisha unakipata. Hukuna siku umewahi