MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1964; Usishindane Na Mtandao Wa Intaneti…
Miaka kama 10 iliyopita, wakati nikiwa mtumiaji mzuri wa mitandao ya kijamii, wakati huo ukiwa mtandao wa facebook, nilikuwa nimejiwekea utaratibu kwamba sikubali kupitwa na chochote. Hivyo kama jana nilifika sehemu fulani, leo nahakikisha napitia yote mpaka pale nilipoishia jana. Kipindi cha mwanzo hilo lilikuwa rahisi, kwa sababu ulikuwa unaweza