MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1966; Dalili Za Uchanga Utakaokukwamisha Kufanikiwa…
Mafanikio yanahitaji ukomavu wa hali ya juu sana. Ndiyo maana kuna baadhi ya watu huwa tunawaona wakiwa wameyakaribia kabisa mafanikio yao, lakini wanapoteza kila kitu. Labda ni msanii amekutana na umaarufu wa ghafla, au mfanyabiashara amekutana na fursa ya kipekee inayompa faida sana, au mfanyakazi amepata nafasi ya kuwa kiongozi.