MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1971; Kama Unataka Kupata Majibu Sahihi, Husisha Gharama…
Unapowauliza watu kuhusu maoni yao kwenye jambo lolote lile, watakujibu kwa namna ya kukufurahisha, yaani watakujibu kile unachotaka kusikia, kama hakuna gharama yoyote wanayoingia. Hivyo kama wale unaotaka wakupe maoni au mrejesho hawaingii gharama yoyote, hawatakupa majibu sahihi. Na hili lipo sana kwenye utafiti wa masoko. Ukiwauliza watu kama watanunua