MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TuvukePamoja; UWEKEZAJI SAHIHI KWAKO KUFANYA…
Katika kipindi hiki tunachopitia changamoto kubwa, uwekezaji sahihi kwako kufanya ni kuwekeza ndani yako binafsi. Changamoto kama hizi zinatuonesha ni wapi tuna udhaifu na mapungufu, zinatuonesha nini tumekuwa tunafanya kwa mazoea. Hivyo ni wakati sahihi kwako kufanya uwekezaji wa kuwa bora zaidi kwenye yale maeneo ambayo una udhaifu na mapungufu.