MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1977; Kinachokuangusha Ni Kukosa Ujasiri Huu…
Kila mara kuna makosa ambayo huwa tunarudia rudia kuyafanya, kwa sababu tunakosa ujasiri wa kuchukua hatua sahihi kuzuia makosa hayo yasitokee. Na kikubwa kinachotufanya tukose ujasiri huo ni kwa sababu tunataka kuwaridhisha wengine, hatupendi kuwaona wakiumia, na mwishowe tunaumia sasa. Leo tutajikumbusha maeneo ambayo ukiweka ujasiri, utaacha kufanya makosa na