MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; UKOMBOZI UPO KWENYE FIKRA…
“The salvation of mankind depends upon independent thinkers directing their thoughts rightly.” —RALPH WALDO EMERSON Ukombozi wetu sisi binadamu upo kwenye fikra zetu, Hivyo bila ya watu kuwa huru kufikiri na kupeleka fikra hizo sehemu sahihi, wataishia kuwa watumwa kwa watu wengine. Na hiki ndiyo kinachoendelea sasa, Watu wameacha kabisa