MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; ALIYEKUKASIRISHA NI WEWE…
“If someone succeeds in provoking you, realize that your mind is complicit in the provocation.” – Epictetus Kama umekasirishwa kwa namna yoyote ile, jua kabisa aliyekukasirisha ni wewe mwenyewe. Kama umedharauliwa na wengine, jua wa kwanza kukudharau ni wewe mwenyewe. Hakuna mtu yeyote mwenye nguvu ya kufanya chochote kwenye maisha