MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; KAMA HUWEZI KUFANYA, FANYA…
“You must do the thing you cannot do.” – Eleanor Roosevelt Kama kuna kitu unataka kufanya, Lakini unajiambia huwezi kufanya, Basi kifanye kiwe lazima kwako kufanya. Huwa tunakua pale tunapofanya vitu ambavyo hatuwezi kufanya. Tunapata mafanikio pale tunapofanya vitu vya tofauti, Kuendelea kufanya kile ulichozoea, Utaendelea kupata matokeo ambayo umekuwa