MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2006; Uhuru Ni Kujitambua…
Mtoto mdogo akitaka kitu anakitaka kama anavyotaka yeye, hawezi kukubali kitu kingine isipokuwa kile anachotaka yeye. Kupata kile anachotaka anaweza kufikiri ni uhuru, lakini huo siyo uhuru. Uhuru siyo kupata kile ambacho mtu anataka kwa namna anayotaka yeye. Huko ni kuendeshwa na hisia au mihemko na siyo kuwa huru. Uhuru