MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; WATAKUHUKUMU KWA UNACHOFANYA…
“People who watch you judge you on what you do, not how you feel.” – CUS D’AMATO Watu wanaokuangalia huwa wanakuhukumu kwa kile unachofanya na siyo jinsi unavyojisikia. Unachofanya kinaonekana na kila mtu, Hisia zako unazijua mwenyewe. Hivyo unapaswa kuwa makini, usiruhusu hisia zikusukume kufanya kile ambacho siyo sahihi. Hata