MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2010; Unahitaji Uchoshi…
Tunaweza kusema maendeleo ya binadamu yamekuwa yanazaliwa kutokana na uchoshi (boredom). Pale ambapo mtu anakuwa kwenye hali ya kuboreka, akiwa hana cha kufanya ndipo akili yake inakwenda hatua ya ziada na kumwonesha njia za kukabiliana na chochote anachopitia. Na uchoshi huo ni ule ambapo mtu anakuwa mpweke, mawazo yake yanakuwa