MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; LENGO KUU NI KUWA WEWE…
“To be what we are, and to become what we are capable of becoming, is the only end of life.” — Robert Louis Stevenson Lengo kuu la maisha, kusudi pekee unalopaswa kuliishi ni kuwa wewe, kuweza kufikia uwezo mkubwa uliopo ndani yako. Hakuna mwingine kama wewe hapa duniani, hajawahi kuwepo