MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; TATIZO HUJAKOMALIA KITU KWA MUDA…
“Take a simple idea and take it seriously.” —Charlie Munger Kila mtu anataka mafanikio makubwa, ila wanaoyapata ni wachache sana.Siyo kwa sababu wachache hao ni wajanja sana au wanafanya nakubwa sana.Bali kwa sababu wachache hao huwa wanakuwa tayari kukomaa na kitu mpaka wapate majibu. Wale wanaofanikiwa sana, huwa wanachukua kitu